MAMBO GANI YA KUZINGATIA UNAPOMCHAGUA BROKER.

MAMBO GANI YA KUZINGATIA UNAPOMCHAGUA BROKER.

 

MAMBO GANI YA KUZINGATIA UNAPOMCHAGUA BROKER.

1. Spread.

2. Commision and fees.

3. Urahisi wa utumiaji wa trading platform ukiwa chini yake.

4. Kiasi cha chini unachoweza kudeposit.

5. Gharama zozote za ziada kama zipo.

6. Control juu ya matukio mbalimbali yanapotokea dhidi ya position zako.

7. Platform gani unaweZa kutumia ukiwa chini yake.

8. Urahisi wa kudeposit na kuwithdraw.

9. Maaada wa huduma kwa wateja. 

9. Ana reputation gani, kama ana partner na taasisi ipi inayoaminika.

10. Management yake nzima, oFisi zake na namna ya kumfikia kama ana fikika.

CAN MARKET MAKER INFLUENCE MARKET PRICES AGAINST A CLIENT POSITION?.

CAN MARKET MAKER INFLUENCE MARKET PRICES AGAINST A CLIENT POSITION?.


CAN MARKET MAKER INFLUENCE MARKET PRICES AGAINST A CLIENT POSITION?. 

Kwa kifupi Hapana, Kwa sababu soko la Forex ni kitu kinachotoa taswira ya hali halisi ya uchumi na mwenendo wa uchumi kwa sarafu husika.

Hivyo hakuna namna taasisis fulani ikashusha au kupandisha thamani ya sarafu sababu ya interest zake binafsi. Hii ni tafsiri ya kuwa hakuna mtu binafsi ama taasisi binafsi ana nguvu za kutosha ya kupeleka prices katika uelekeo fulani.

Hili ni soko kubwa duniani hivi sasa, lenye ujazo usiopungua dolla trilion tano za marekani, Hakuna market maker aliyepo kwenye position ya kuaffect soko kwa kumanipulate direction.

DO MARKET MARKER GO AGAINST A CLIENT’s POSITION?.

DO MARKET MARKER GO AGAINST A CLIENT’s POSITION?.


DO MARKET MARKER GO AGAINST A CLIENT’s POSITION?.

Kwa tafsiri hawa ni watu wa kati kwenye position zote za clients wao na wanatoa ofa ya kuuza au kununua katika soko.

Kwahio hamna jambo lolote binafsi baina ya market maker na mteja. Kiujumla market marker anajukumu la kumlinda mteja wake kutokana kanuni na sheria za risk management ndio maana kuna brokers hawakupi leverage ambayo ni hatari kwako na pia hufuata muongozo wa taasisi zinazowasimamia (regulatory authorities).

WHO ARE MARKET MAKERS?.

WHO ARE MARKET MAKERS?.


 WHO ARE MARKET MAKERS?.

Banks or Trading platforms, ambao hununua na kuuza idea za kifedha zinazosababisha au kuitwa “make the market”,
huwa mtu kati ambao huwakilisha clients, kujenga vipato vyao kupitia commision.
RISK

RISK


 RISK.

Licha ya kuwa forex trading inaweza kupa faida, kuna risk ambayo ipo. Hii hujumuisha Exchange rates risk, Interest rates risk, credit risk na event risk.
Mfumo wa price na graph za pair zipo katika nadharia ya kupanda na kushuka kwa range fulani. Na kufuatia nadharia hio ndipo tunapata uwezo wa kubashiri/predict movement zijazo.
Mara kadhaa huenda kama tunavyotarajia na hio huwa ni faida lakini mara inapokua haijaenda kama tunavyotarajia sababu hizo hapo juu huchangia. Matukio mbali mbali yanayotangazwa na kutokea na kuathiri mzunguko wa kawaida wa sarafu.
SPREADS

SPREADS

 

SPREADS.

Tofauti kati ya kuuza na kununua Au kwa namna nyingine tunasema tofauti ya bei ya market maker kuuza kwa clients wake au tofauti ya market maker kununua kwa clients wake.

Mfano ukaweka oda mbili kwa wakati mmoja kuuza na kununua katika soko zote zitakuwa kwenye hasara kwa muda. Tofauti hio ambayo inaonesha hasara ndio tunaita SPREAD.

Hiki ni moja ya kitu cha msingi sana cha kuzingatia unavyotaka kuchagua broker wa kua chini yake. Broker wengi wanafanya manipulation kwenye eneo hili.

EXCHANGE RATES.

EXCHANGE RATES.


 EXCHANGE RATES.

Sababu sarafu zinatrediwa in pairs and exchanged kutoka sarafu moja kuja nyingine unapotrade.Rate unavyokua unafanya exchange tunaita exchange rate.Sarafu kubwa zinatradiwa against dolla ya marekani (USD) ambayo ndio sarafu inayotrediwa zaidi ya sarafu yoyote.Sarafu zinazofuata kwa kutrediwa zaidi ni euro (EUR), yen ya japan (JPY) , pound ya uingereza (GBP) na Swiss Franc (CHF).Na pindi sarafu hizi nne zinapokuatana na dolla ya marekani hutengeneza pair tunazoziita major pair.Na karibuni dolla ya Australia (AUD) pia inatamkwa kama inaweka muunganiko wa major pair.

Sarafu ya mwanzo iliopo kwenye pair huitwa base currency na sarafu inayokaa upande wa pili huita Counter au Quote currency.Exchange rates hufafanua ni kiasi gani cha quote currency kinatakiwa kulipwa ili kupata unit moja ya base currency.

HOW DO YOU MONITOR YOUR FOREX TRADING?.

HOW DO YOU MONITOR YOUR FOREX TRADING?.


HOW DO YOU MONITOR YOUR FOREX TRADING?.

Online, mahali popote, mda wowote.Una full control ya kumonitor tradings zako, kuangalia mabadiliko, kubadilisha baadhi ya maamuzi kama kubadili ukomo wa hasara (Stop Loss) na target ya faida (Take profit), Kufunga trades au kuwithdraw faida.

HOW DO YOU START TRADING?.

HOW DO YOU START TRADING?.


 HOW DO YOU START TRADING?.

Ukiwa umeshapata elimu ya kutosha na ukawa ushafanya maamuzi ya kutosha kuwa upo tayari kutrade, Ni lazima Ujisajili kwa broker ambaye unaona utendaji wake wa kazi unakuridhisha na kisha utadeposit kiasi ambacho ungependa kiwe ni Margin yako katika kutrade. Njia za kudeposit ni tofauti inaweza ikawa kupitia Card ya benki, paypal, Netteler, Skrill na Mobile money kama Mpesa ambazo kwa sasa broker wengi wamezileta ukanda huu wa Afrika Mashariki.

HOW RISKY IS FOREX TRADING?.

HOW RISKY IS FOREX TRADING?.


 HOW RISKY IS FOREX TRADING?.

Hauwezi kupoteza zaidi ya mtaji wako. Kama utaanza na $100 basi haitatokea umepoteza $200. Mtaji wako unaoanza nao unaitwa MARGIN. Faida utakayotengeneza haina ukomo, lakini hauwezi kupoteza zaidi ya MARGIN yako. Unashauriwa kwa nguvu zote “KAMWE USIRISK ZAIDI YA AMBACHO HAUWEZI KUKIPOTEZA “
HOW DOES ONE PROFIT IN THE FOREX MARKET?

HOW DOES ONE PROFIT IN THE FOREX MARKET?


 HOW DOES ONE PROFIT IN THE FOREX MARKET?.

Kifupi ni kwa kununua chini na kuuza juu.Upatikanaji wa faida unakuja kulingana na mabadiliko ya thamani ya bei iwe chini kwenda juu au juu kwenda chini.Tofauti na masoko ya hisa ambapo share inanunuliwa ili tu iende juu.Pia Forex haihitaji kuwepo physical ili kufanya trades.

LEVERAGE IS THE FOREX ADVANTAGE.

LEVERAGE IS THE FOREX ADVANTAGE.


 LEVERAGE IS THE FOREX ADVANTAGE.

Uwiano wa uwekezaji dhidi ya thamani halisi hii ndio inaitwa LEVERAGE. Kutumia $1000 kufanya trade yenye thamani ya $100000 hii ndio Leverage ambayo ni sawa na 1:100. $1000 ndio pekee ambayo unaiweka kwenye risk, lakini faida utayoipata ni mara nyingi zaidi ya kiasi ulichorisk.
WHAT HAPPENS IN THE MARKET?.

WHAT HAPPENS IN THE MARKET?.


 WHAT HAPPENS IN THE MARKET?.

Soko ni sehemu ambalo bidhaa zinauzwa. Pia hata kwenye Forex, bidhaa ni sarafu za nchi mbalimbali na madini kama Dhahabu na silver pamoja na mafuta. Unaweza ukanunua Euro baina ya dolla ya marekani, Au ukauza Japanese Yen dhidi ya Dola ya Canada. Ni ujumla wa kutrade sarafu moja dhidi ya sarafu nyingine.
The forex market

The forex market

 

THE FOREX MARKET.
Forex market ni soko kubwa na ambalo linakua kwa kasi duniani. Mzunguko wake wa siku ni zaidi ya dola trillion tano ($6.6 Trillion) za kimarekani. Participants kwenye soko hili ni benki kuu na mabenki ya kibiashara, Corporations, institutional investors, Hedge funds na watu wa kawaida kama wewe.

Follow me Now

👉https://bit.ly/m/bongo_pips