HOW RISKY IS FOREX TRADING?.

HOW RISKY IS FOREX TRADING?.


 HOW RISKY IS FOREX TRADING?.

Hauwezi kupoteza zaidi ya mtaji wako. Kama utaanza na $100 basi haitatokea umepoteza $200. Mtaji wako unaoanza nao unaitwa MARGIN. Faida utakayotengeneza haina ukomo, lakini hauwezi kupoteza zaidi ya MARGIN yako. Unashauriwa kwa nguvu zote “KAMWE USIRISK ZAIDI YA AMBACHO HAUWEZI KUKIPOTEZA “

2 comments