HOW DOES ONE PROFIT IN THE FOREX MARKET?

HOW DOES ONE PROFIT IN THE FOREX MARKET?


 HOW DOES ONE PROFIT IN THE FOREX MARKET?.

Kifupi ni kwa kununua chini na kuuza juu.Upatikanaji wa faida unakuja kulingana na mabadiliko ya thamani ya bei iwe chini kwenda juu au juu kwenda chini.Tofauti na masoko ya hisa ambapo share inanunuliwa ili tu iende juu.Pia Forex haihitaji kuwepo physical ili kufanya trades.