MAMBO GANI YA KUZINGATIA UNAPOMCHAGUA BROKER.

MAMBO GANI YA KUZINGATIA UNAPOMCHAGUA BROKER.

 

MAMBO GANI YA KUZINGATIA UNAPOMCHAGUA BROKER.

1. Spread.

2. Commision and fees.

3. Urahisi wa utumiaji wa trading platform ukiwa chini yake.

4. Kiasi cha chini unachoweza kudeposit.

5. Gharama zozote za ziada kama zipo.

6. Control juu ya matukio mbalimbali yanapotokea dhidi ya position zako.

7. Platform gani unaweZa kutumia ukiwa chini yake.

8. Urahisi wa kudeposit na kuwithdraw.

9. Maaada wa huduma kwa wateja. 

9. Ana reputation gani, kama ana partner na taasisi ipi inayoaminika.

10. Management yake nzima, oFisi zake na namna ya kumfikia kama ana fikika.